President Uhuru Kenyatta March 2017 dismissed reports that he was angry with Mombasa Governor Hassan Joho during an official tour to the county on March 13.

Share news tips with us here at Hivisasa

The two clashed verbally with Uhuru warning the ODM governor against following him around during opening of the Mtongwe ferry.

He asked him to focus on the people of Mombasa to avoid clashing with him.In response during an interview on Citizen TV, Kenyatta said;

1. I have a right to visit any part of the country without seeking permission from anyone. 

2. Mimi sina hasira hata kidogo. Mimi sikuwa na hasira Mombasa. Lakini inafika wakati lazima useme ukweli wako.

3. Ukiwa na mwelekeo au lengo na mwingine aje na yake ambayo hauhusiani nayo, lazima watu waelezane ukweli.

4. Mtu amekuja akasema lazima aje function yangu na mimi nimesema 'hii haikuhusu, wewe kaa kando, mimi wacha nipate nafasi yangu ya kueleza wananchi vile nimewatendea. Wewe baadaye utapata nafasi yako uje uwaeleze.

5. Lakini kama unafikiria eti lengo lako ni kujigamba eti unaweza kusisimama mbele ya rais na matusi, siwezi kubali.

6. Jamani, ni nini hapo nimeenda kuzindua ambayo si shughuli ya kitaifa.

#Histroynow