Share news tips with us here at Hivisasa

Mahakama kuu ya Mombasa imemuachilia huru  mwanamume anayedaiwa kuhusika na kosa la mauwaji.

Mnamo Februari 13, 2013 katika eneo la Kisauni, mshtakiwa anadaiwa kumuuwa Issa Hamisi.

Jaji katika mahakama kuu ya Mombasa Martin Muya, alisema siku ya Ijumaa kuwa kulingana na ushahidi uliotolewa hauambatani na kumuhusisha mshukiwa huyo na mauwaji hayo.

Mshukiwa alisalia  rumande tangu kushikwa kwake tangu mwaka 2013.