Kenyans on social media have proved that they can be funny and creative through the trending “Unakufa challenge” (You die challenge). 

Share news tips with us here at Hivisasa

After one of them unleashed the joke, Kenyans were all over social media platforms cracking ribs with the memes, even before we knew what it really means. 

Below are some of the memes that left many Kenyans in stitches;

1. Unaeka dadangu WCW, namstaki kwa mama, anachapwa anakufa.

2. Unaringa ati huwezi make jokes za Unakufa challenge. Unazeeka unakufa.

3. Unajifanya fan wa Migos, unaambiwa uimbe ngoma yake moja, mara unaanza “Skrrt Sktrrrt” unaishiwa pumzi unakufa.

4. Unajifanya fan wa Arsenal, unaambiwa taja majina ya players, unafika kwa Papastathopoulos, unanyongwa na mate unakufa.

5. Unaninyima mate, unalala nayo, inakunyonga unakufa.

6. Wahenga wanakuambia mtaka cha mvunguni lazima ainame, mvunguni anakuona ukiinama ukitaka kuchukua chake, anakuchapa unakufa.

7. Unadate msee ako na mandevu, mnakiss, una suffocate unakufa.

8. Unakutana na slayqueen, unajaribu kizungu, inakuwa kizungumkuti, unameza ulimi unakufa.

9. Mrembo wako ako na sauti ya kutoa nyoka pangoni, anaimba, nyoka inatoka pangoni, inakuuma,unakufa

10. Girl child unaambiwa uko na haga, unazunguka kuangalia haga, una twist shingo, inavunjika unakufa.

#hivisasaoriginal