ADVERTISEMENT
Is there a story unfolding in your community? Let Hivisasa know
Mwanamke mmoja amefikishwa mbele ya Mahakama ya Mombasa kujibu shtaka la wizi.
Upande wa mashtaka ulielezea mahakama siku ya Jumatatu kuwa mshtakiwa, Sheriff Kassim, anadaiwa kuiba shilingi elfu 30, mali ya Benki ya Equity tawi la Moi Avenue jijini Mombasa.
Mshtakiwa huyo alikana shtaka hilo mbele ya Hakimu Douglas Ogoti.
Hakimu Ogoti aliagiza mshtakiwa huyo kuachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu 60.